• ePaper
Sunday, July 26, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

DEPU, OKELLO WAMOTO, YANGA IKISHINDA 6-0

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
January 20, 2026
in Burudani, Michezo
0
DEPU, OKELLO WAMOTO, YANGA IKISHINDA 6-0
0
SHARES
50
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

USAJILI mpya wa Yanga umeanza kulipa, fuatia jana timu hiyo kupata ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Mashujaa ya Kigoma katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. 

Mtanange huo uliopigwa Uwanja wa KMC, Dar es Salaam, Yanga ilitawala mechi hiyo huku nyota wake wapya Mohamed Damaro, Allan Okello na Laurindo Aurelio ‘Depu’ waliotua dirisha dogo, wakiwasha moto wa hali ya juu.

Katika mtanange huo, Depu alifunga bao moja na kutoa pasi moja ya bao, Damaro akipachika bao moja wakati Okello akitoa pasi moja ya bao.

Mabao mengine ya Yanga yalifungwa na Duke Abuya, Pacome Zouzoua, Prince Dube na Mudathir Yahya, kila mmoja akiweka kimiani bao moja.

Kutokana na ushindi huo, sasa Yanga ipo kileleni mwa msimamo wa ligi, ikiwa na alama 19 katika mechi saba. 

Baada ya mtanange huo, sasa Yanga inajipanga kwa mechi mbili mfululizo za kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri.

Yanga itachuana na Al Ahly mwishoni mwa wiki nchini Misri kabla ya kurudiana mwishoni mwa mwezi huu katika Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja.

Yanga: Abuutwalib Mshery, Bakari Mwanyeto, Dickson Job, Maxi Nzengeli/Mudathir Yahya, Pacome Zouzou/Laurindo Dilson, Kibwana Shomary, Allan Okello, Chadrack Boka/ Balla Conte, Mohamed Damaro/ Mohamed Hussein, Prince Dube na Duke Abuya/Kouassi Yao.

Mashujaa: Erick Johola, Mpoki Mwakinyuke, Samwel Onditi, Abdulanasir Assa, Salum Kihimbwa, Hassan Ali, Mundhir Vuai, Jafari Kibaya, Yusuf Dunia, Mohamed Salum na Samson Madeleke.

Previous Post

KIHONGOSI AMWASHIA MOTO KIGOGO HOSPITALI MANYONI

Next Post

NI ZAMU YETU LINAKUJA NYUMBANI

Next Post
NI ZAMU YETU LINAKUJA NYUMBANI

NI ZAMU YETU LINAKUJA NYUMBANI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

GAMONDI MATUMAINI KIBAO, WADAU WAIPA TANO STARS

GAMONDI MATUMAINI KIBAO, WADAU WAIPA TANO STARS

7 months ago
RAS: UTUNZAJI MAZINGIRA AJENDA YA KIPAUMBELE KWA MKOA WA MWANZA

RAS: UTUNZAJI MAZINGIRA AJENDA YA KIPAUMBELE KWA MKOA WA MWANZA

2 months ago

Popular News

  • KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MABASI YA UMEME REKODI ZANZIBAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KOCHA AIPA JEURI YANGA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWALIMU, GUEYE WAPO SIMBA SANA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI ASHTUKIA ‘USANII’ WA WACHIMBAJI MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?