• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

DK. NCHIMBI ATOA AHADI KWA DK. SAMIA

admin by admin
August 28, 2025
in Habari, Kitaifa, Uchaguzi
0
DK. NCHIMBI ATOA  AHADI KWA  DK. SAMIA
0
SHARES
23
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

NA ABDURAHMAN JUMANNE

Mgombea Mmwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema yupo tayari na kuzitafuta kura za ushindi wa Chama kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29. mwaka huu.

Dk. Nchimbi ameahidi kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisha utekelezaji wa Ilani ya Chama unafanikiwa kwa manufaa ya wananchi.

Ametoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam. viwanja vya Tanganyika Packers, katika uzinduzi wa kampeni za CCM. Tukio hilo limehudhuriwa na maelfu ya wananchi na wanachama kutoka mikoa mbalimbali.

Akizungumza baada ya kukaribishwa na Mgombea Urais wa CCM, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, Balozi DK. Nchimbi amesema atashirikiana kikamilifu kuhakikisha Chama kinashinda kwa kishindo na kuendelea kutekeleza Ilani ya Uchaguzu ya mwaka 2025–2030.

Previous Post

DK. SAMIA AELEZA VIPAUMBELE SIKU 100 ZA KWANZA AKIWA RAIS

Next Post

KIKWETE AWATOLEA UVIVU WAZUSHI, ASEMA UTEUZI WA DK. SAMIA ULIFUATA KATIBA YA CCM

Next Post
KIKWETE AWATOLEA UVIVU WAZUSHI, ASEMA UTEUZI WA DK. SAMIA ULIFUATA KATIBA YA CCM

KIKWETE AWATOLEA UVIVU WAZUSHI, ASEMA UTEUZI WA DK. SAMIA ULIFUATA KATIBA YA CCM

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WADAU WAFICHUA AMANI INAVYOVUTIA WAWEKEZAJI

WADAU WAFICHUA AMANI INAVYOVUTIA WAWEKEZAJI

2 weeks ago
TUME YAUNDWA KUBAINI TUHUMA UZIMAJI X -RAY

TUME YAUNDWA KUBAINI TUHUMA UZIMAJI X -RAY

4 months ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?