• ePaper
Saturday, June 6, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

IBENGE ATAMBIA KIKOSI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
August 30, 2025
in Burudani, Habari, Kitaifa, Michezo
0
IBENGE ATAMBIA KIKOSI
0
SHARES
3
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema anaamini kikosi chake kitafanya vyema katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya Shirikisho la Afrika (CAFCC).

Akizungumzia maandalizi ya msimu mpya kocha huyo amesema hivi sasa kikosi chake kipo vizuri japokuwa bado anaendelea kufanya uboreshaji wa baadhi mambo madogo madogo kuhakikisha wachezaji wote wanakuwa fiti kupambana katika michuano mbalimbali msimu mpya.

Amesema wanasubiri wachezaji wengine waungane na wanzao kuendelea na programu mbalimbali za mazoezi kuelekea katika ligi na michuano ya CAFCC.

“Tulianza na mazoezi ya utimamu wa mwiliu baada ya mapumziko ya muda mrefu, hivi sasa tumeshaingia uwanja wa mazoezi kuendelea kujifua.

“Kikosi changu kipo vizuri japokuwa kuna vitu vya kufanyia uboreshaji, tunaamini tutafanya vyema msimu mpya utakapoanza na kufikia malengo.

“Tuna muda wa kutosha kujiandaa tunajiamini tunakwenda vizuri, tunapaswa kuyafanyia kazi baadhi ya maeneo kuhakikisha tunafikia malengo tuliyojiwekea,” amesema Ibenge.

Kocha huyo amesema hivi sasa yupo katika kuyafanyia kazi madhaifu ya kikosi chake kipindi hiki cha maandalizi.

“Maandalizi yanakwenda vizuri pia wachezaji wangu wanaonyesha kujituma mazoezini kitu ambacho kinaniongezea imani kwamba tutakuwa na msimu bora zaidi,” amesema.

Previous Post

YANGA, SIMBA MECHI YA KISASI NA HESHIMA

Next Post

TAIFA STARS HAKUNA KULALA

Next Post
TAIFA STARS HAKUNA KULALA

TAIFA STARS HAKUNA KULALA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

7 months ago
KATIBU MKUU CCM ZIARANI UCHINA

KATIBU MKUU CCM ZIARANI UCHINA

2 months ago

Popular News

  • MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WFP KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA USIMAMIZI WA MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HESHIMA KUBWA KWA TANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU: MAMBO MAZURI YANAKUJA, AIPA TANO SERENGETI BOYS

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERENGETI BOYS HESHIMA KILA KONA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?