• ePaper
Sunday, May 31, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

DK. NCHIMBI AITEKA RORYA | WANANCHI WATHIBITISHA KUTIKI OKTOBA  29 KWA KISHINDO

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
August 31, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
DK. NCHIMBI AITEKA RORYA | WANANCHI WATHIBITISHA KUTIKI OKTOBA  29 KWA KISHINDO

MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi

0
SHARES
7
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na ABDURAHMAN JUMANNE,

Mara

MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amehutubia mamia ya wananchi waliofurika katika uwanja wa Ubwere, Wilaya ya Rorya, mkoani Mara, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano yake ya kampeni katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Katika mkutano huo, Dk. Nchimbi ambaye ni mgombea mwenza wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aliwaombea kura wagombea wa CCM, akiwemo mgombea ubunge wa Jimbo la Rorya, Jafari Chege, sambamba na wagombea wengine wa ubunge na udiwani wa mkoa huo.

Amesema chama hicho kimejipanga kuendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini, iwapo kitapata ridhaa ya kuongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Dk. Nchimbi ataendelea na mikutano ya kampeni katika mikoa mingine ya Kanda ya Ziwa, katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Previous Post

DK. NCHIMBI AAHIDI FURSA KWA VIJANA

Next Post

DK. SAMIA AAHIDI MAGEUZI MAKUBWA YA KILIMO

Next Post
DK. SAMIA AAHIDI MAGEUZI MAKUBWA YA KILIMO

DK. SAMIA AAHIDI MAGEUZI MAKUBWA YA KILIMO

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

BIL. 36.6/- ZAPAISHA UCHUMI WA VIJANA

BIL. 36.6/- ZAPAISHA UCHUMI WA VIJANA

5 months ago
RAIS DK. SAMIA ABADILI MATUMIZI YA FEDHA

RAIS DK. SAMIA ABADILI MATUMIZI YA FEDHA

1 month ago

Popular News

  • SERENGETI BOYS KILA KONA, RAIS SAMIA AWAPA MILIONI 500/-

    SERENGETI BOYS KILA KONA, RAIS SAMIA AWAPA MILIONI 500/-

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAS: UTUNZAJI MAZINGIRA AJENDA YA KIPAUMBELE KWA MKOA WA MWANZA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • UPELE UMEPATA MKUNAJI STARS

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • ‎ RAIS DK. SAMIA: POLISI MSIDHARAU TAARIFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. MWIGULU ATETA NA WAZIRI MKUU WA CONGO BRAZZAVILLE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?