• ePaper
Sunday, May 17, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

KIHONGOSI AWATAKA VIJANA KUTOKUBALI KUVURUGA AMANI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
October 11, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
KIHONGOSI AWATAKA VIJANA KUTOKUBALI KUVURUGA AMANI

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenan Kihongosi.

0
SHARES
8
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MUSSA YUSUPH,

Musoma

KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenan Kihongosi, ametoa wito kwa vijana kutokubali kutumika kisiasa kuvuruga amani ya nchi.

Kihongosi aliyasema hayo katika mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mgombea Urais kupitia CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, uliofanyika wilayani Busega mkoani Simiyu.

Kihongosi ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, alieleza siasa hazipaswi kutumika kuchochea vurugu na kusisitiza umuhimu wa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kulinda amani.

Kuhusu maendeleo, alisema katika Kata ya Lamadi kulikuwa na changamoto ya maji ambapo kazi kubwa imefanyika ya kusimamia mradi wenye thamani zaidi ya sh. bilioni 400.

Alisema maji hayo yatasambazwa Meatu, Busega, Itilima hadi Bariadi, hivyo kupunguza changamoto ya uhaba wa maji.

Pia, alisema wananchi wa eneo la Nyanshimo wameondokana na kero ya mafuriko baada ya Dk. Samia kutoa fedha za kujenga daraja.

Previous Post

DK. SAMIA KUWAINUA WANANCHI KIUCHUMI

Next Post

DK. NCHIMBI AMTAJA DK. SAMIA UJENZI BANDARI YA KWALA

Next Post
DK. NCHIMBI AMTAJA DK. SAMIA UJENZI BANDARI YA KWALA

DK. NCHIMBI AMTAJA DK. SAMIA UJENZI BANDARI YA KWALA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

BONDIA MWAKYEMBE KUTOA ZAWADI YA KRISMASI

BONDIA MWAKYEMBE KUTOA ZAWADI YA KRISMASI

5 months ago
SABABU ‘DABI’ YANGA, SIMBA KUPELEKWA Z’BAR

SABABU ‘DABI’ YANGA, SIMBA KUPELEKWA Z’BAR

3 months ago

Popular News

  • DK. MWIGULU AHIMIZA WANANCHI KUIOMBEA AMANI YA NCHI

    DK. MWIGULU AHIMIZA WANANCHI KUIOMBEA AMANI YA NCHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. KIKWETE ASHIRIKI MAZISHI YA KITAIFA YA RAIS MSTAAFU MOGAE WA BOTSWANA, AKIMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DANGOTE AIPONGEZA SERIKALI, AANGAZIA FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TANZANIA NI NCHI YA PILI AFRIKA KUWA NA HADHI YA  UTALII WA JIOLOJIA (GEOPARK MUSEUM)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAIPONGEZA PUMA ENERGY KWA MFUMO MPYA WA KIDIJITALI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?