• ePaper
Saturday, June 6, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

FEI TOTO AAHIDI MAKUBWA CAFCC

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 20, 2025
in Burudani, Habari, Kimataifa, Michezo
0
FEI TOTO AAHIDI MAKUBWA CAFCC

Feisal Salum ‘Fei Toto’

0
SHARES
11
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

SAA chache baada ya timu ya Azam FC kuondoka nchini kuelekea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kwa ajili ya mchezo wake wa kwanza wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC), nyota wa timu hiyo Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameahidi watapambana kupata ushindi.

Azam itakuwa ugenini Jumapili kumenyana na As Maniema katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya CAFCC utakaochezwa nchini Congo.

Akizungumza kabla ya kuondoka nchini jana, Fei Toto alisema wataingia katika mchezo huo kwa kuwaheshimu wapinzani wao kwani wanaamini mechi itakuwa na upinzani mkubwa.

“Tunakwenda katika mchezo mgumu lakini tutawaheshimu wapinzani wetu na siyo kuwaogopa, tumejipanga vyema na hatuna presha yeyote tunakwenda kupambana kupata matokeo mazuri,” alisema.

Fei aliwaomba mashabiki waendelee kuwasapoti na kuiombea timu yao kuhakikisha wanapata ushindi na kuiwekea mazingira mazuri ya kusonga mbele.

“Mashabiki waendelee kutuombea dua kwani sisi tunakwenda kuwapa furaha maombi yao ni muhimu kwetu katika mchezo uliopo mbele yetu,” alisema.

Ofisa Habari na Mawasiliano wa Klabu hiyo, Hashim Ibwe alisema wachezaji wao wamejiandaa vizuri kuwakabili wapinzani wao.

“Kocha Florent Ibenge na benchi lake la ufundi wamefanya kazi kubwa katika viwanja vya mazoezi, hivyo tuna imani wachezaji watapambana kuhakikisha wanapata matokeo mazuri,” alisema Ibwe.

Azam wapo kundi B wakiwa na timu za Wydad AC ya Morocco, AS Maniema Union ya (DRC) na Nairobi United ya Kenya.

Previous Post

KOCHA SERENGETI BOYS AKOSHWA NA KIWANGO

Next Post

WADAU WAMPA TANO RAIS SAMIA TUZO ZA CAF 2025

Next Post
WADAU WAMPA TANO RAIS SAMIA TUZO ZA CAF 2025

WADAU WAMPA TANO RAIS SAMIA TUZO ZA CAF 2025

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

STARS YAPEWA NJIA KUTOBOA AFCON 2025

STARS YAPEWA NJIA KUTOBOA AFCON 2025

6 months ago
SERIKALI YAIVALIA NJUGA TANZANITE

SERIKALI YAIVALIA NJUGA TANZANITE

6 months ago

Popular News

  • MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WFP KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA USIMAMIZI WA MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HESHIMA KUBWA KWA TANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU: MAMBO MAZURI YANAKUJA, AIPA TANO SERENGETI BOYS

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERENGETI BOYS HESHIMA KILA KONA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?