• ePaper
Thursday, May 7, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

SERIKALI YAITA WADAU KUISAPOTI TAIFA STARS

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 12, 2025
in Burudani, Kimataifa, Michezo
0
SERIKALI YAITA WADAU KUISAPOTI TAIFA STARS
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

SERIKALI imetoa wito kwa wadau wa soka na Watanzania kuisapoti timu ya Taifa Stars, kuhakikisha inafanya vizuri katika fainali za Kombe la Mataifa  Afrika (AFCON 2025), zitakazofanyikia nchini nchini Morocco.

Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika Desemba 21, mwaka huu hadi Januari 18, mwakani nchini humo ambapo Stars hivi sasa ipo Misri katika maandalizi ya mwisho.

Akizungumza Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Neema Msitha alisema ni muda wa Watanzania kutumia fursa katika mashindano hayo kipindi Stars itakapokwenda nchini Morocco.

Alisema mbali ya kwenda kuwashangilia Stars, Watanzania wanapaswa kutumia vyema nafasi hiyo katika kupata fursa mbalimbali.

“Timu yetu ya Stars inaendelea vyema na maandalizi serikali chini ya BMT kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).

“Wito kwa Watanzania ni muda mwafaka kuwaunga mkono Stars kwenda Morocco pale anapoona kuna fursa kwa sababu kuna mambo mengi nje ya kwenda kuishangalia timu yetu,” alisema.

Katibu huyo alisema kuna fursa mbalimbali za kiuchumi ambapo Watanzania wanapaswa kuzitumia vizuri kipindi wakirudi hapa nchini waziendeleze.

Previous Post

WANNE ‘BYE BYE’ YANGA

Next Post

MWIGULU ACHARUKA

Next Post
MWIGULU ACHARUKA

MWIGULU ACHARUKA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

TANZANIA YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI NA UMOJA WA ULAYA

TANZANIA YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI NA UMOJA WA ULAYA

3 months ago
MUDATHIR KUIKOSA SIMBA

MUDATHIR KUIKOSA SIMBA

2 weeks ago

Popular News

  • YANGA MBELE KWA MBELE

    YANGA MBELE KWA MBELE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WATAALAMU WAFUNGUKA MITAZAMO YA MIKATABA 8

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA AKEMEA VIONGOZI ‘KUVIMBA’

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DEMOKRASIA ISIZICHAFUE NCHI ZETU – RAIS DK. SAMIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • ZIARA YA RAIS KAGAME, RUTO KUIMARISHA DIPLOMASIA KIUCHUMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?