• ePaper
Thursday, June 25, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

YANGA TAMBO  TU 

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 9, 2026
in Burudani, Michezo
0
YANGA TAMBO  TU 
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

BAADA ya kushinda mabao 7-1 dhidi ya Polisi Tanzania juzi, klabu ya Yanga imefichua siri kuwa, kuendelea kuimarika kwa kikosi chake ndiyo sababu ya kupata ushindi huo.

Yanga ilipata ushindi huo katika mchezo wa mtoano wa Kombe la FA uliopigwa Uwanja wa KMC, Dar es Salaam.

Kutokana na ushindi huo, sasa miamba hiyo itachuana na TMA All Stars katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya kombe hilo.

Akizungumza baada ya mchezo huo, Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe, alisema amefurahia kiwango cha timu yao.

Kamwe aliweka wazi kuwa, asilimia kubwa ya wachezaji waliopewa nafasi ya kucheza katika mtanange huo, walicheza vyema.

“Mechi ilikuwa hatari baada ya dakika tano tulikosa mabao matatu hii inaonesha ni namna gani timu yetu imebadilika kwa kiwango kikubwa,” alisema.

Kamwe alisema baada ya kumalizika mchezo huo, hivi sasa wanajipanga kwa mechi zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Yanga keshokutwa itachuana na Mbeya City katika mtanange wake wa 13 wa Ligi Kuu.

Naye beki wa Yanga, Ibrahim Hamad Bacca, aliwapongeza wachezaji wenzake kwa kuonyesha kiwango kizuri katika mtanange huo.

“Nimefurahi tumeshinda mabao mengi, kwangu nimejisikia fahari kuwaongoza wenzangu na tumeshirikiana vizuri na kupambana hadi tumepata ushindi,” alisema.

Previous Post

RAIS DK. SAMIA AMPA   ZAHIR ZORRO MILIONI 10/-

Next Post

SINGIDA BS YAIPANIA SIMBA

Next Post
SINGIDA BS YAIPANIA SIMBA

SINGIDA BS YAIPANIA SIMBA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MAHAKAMA ZANUFAIKA NA MAGEUZI YA TEHAMA

MAHAKAMA ZANUFAIKA NA MAGEUZI YA TEHAMA

6 months ago
RUNGU ZITO KUWASHUKIAWANAOTUNISHIANA MISULI

RUNGU ZITO KUWASHUKIAWANAOTUNISHIANA MISULI

3 weeks ago

Popular News

  • YANGA, AZAM FC HAIJAISHA HADI IISHE

    YANGA, AZAM FC HAIJAISHA HADI IISHE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA MIAKA 30 TRA, YAGUSA WABUNGE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HATUTAVUMILIA UHUJUMU WA MIRADI – NDEJEMBI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA KUZINDUA JENGO LA BILIONI 17/- KCMC

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • BODABODA WAKINGIWA KIFUA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?