• ePaper
Wednesday, April 29, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

MO DEWJI AIPAISHA TANZANIA KIMATAIFA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 10, 2026
in Habari, Kitaifa
0
MO DEWJI AIPAISHA TANZANIA KIMATAIFA
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na Mwandishi Wetu

MFANYABIASHARA na Rais wa heshima wa Simba Mohamed Dewji Mo, amezidi kuchomoza kimataifa baada ya kutajwa kuwa tajiri namba moja Afrika Mashariki na Kati.

Kuchomoza kwa Mo kumekuja kipindi ambacho serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ikiweka mazingira mazuri ya uwekezaji na biashara kuvutia wawekezaji.

Katika kuthibitisha hilo,  Jarida la Forbes limemtaja Mo kuwa tajiri namba moja Afrika Mashariki na Kati kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 2.1.

Katika orodha hiyo, Mo amechomoza kwa kuifanya Tanzania kuongoza mabilionea kwa eneo zima la Afrika Mashariki na Kati.

Mo amechomoza katika orodha hiyo  miongoni mwa bilionea vijana Afrika, kwa mujibu wa Jarida hilo la Forbes.

Kuchomoza kwa Mo ni sifa kwa Tanzania, kwani amekuwa akifanya biashara nyingi zikiwemo za vyakula, usafirishaji huku akitoa ajira, misaada ya kijamii ukiwemo ufadhili wa wanafunzi kupitia Mo Dewji Foundation, kulipa kodi na kuendesha Klabu kubwa ya Simba.

Chini ya Mo, Simba imekuwa ikipata mafanikio makubwa kitaifa na kimataifa hivyo pia, kuitangaza nchi.

Katika orodha hiyo ya mabilionea, Ariko Dangote anaongoza Afrima kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 28.5.

Previous Post

SERIKALI KUHARAKISHA MABADILIKO KIDIJITALI

Next Post

MIGOGORO ARDHI MFUPA MGUMU

Next Post
MIGOGORO ARDHI MFUPA MGUMU

MIGOGORO ARDHI MFUPA MGUMU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. SAMIA : TUNATAKA USHINDI WA HESHIMA

DK. SAMIA : TUNATAKA USHINDI WA HESHIMA

7 months ago
MKENDA AANIKA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA ELIMU

MKENDA AANIKA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA ELIMU

5 months ago

Popular News

  • TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • VYALENGA KUIJENGA JAMII KIUCHUMI NA KIROHO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KUVUMILIANA MUHIMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI SANGU ABAINISHA HIFADHI SKIMU INAVYOENDA KUBADILI MAISHA YA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUCTA: WAAJILI WATEKELEZE NYONGEZA YA KIMA CHA MISHAHARA SEKTA BINAFSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?