• ePaper
Sunday, June 14, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

SERIKALI KUHARAKISHA MABADILIKO KIDIJITALI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 10, 2026
in Habari, Kitaifa
0
SERIKALI KUHARAKISHA MABADILIKO KIDIJITALI
0
SHARES
7
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

SERIKALI chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta binafsi kuimarisha miundombinu na kuharakisha mabadiliko ya kidijitali ya Tanzania.

Akizungumza katika futari maalumu jijini Dar es Salaam, Waziri wa Fedha na Mipango, Balozi Khamis Omar amesema serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa sekta binafsi kuhakikisha wanaimarisha miundombinu na kuharakisha mabadiliko ya kidijitali nchini.

Wazir Omar alisisitiza kuwa serikali pia imekuwa na ushirikiano mzuri na Kampuni ya Airtel ambapo inamiliki hisa kwa asilimia 49 katika kampuni hiyo.

“Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta binafsi kuimarisha miundombinu na kuharakisha mabadiliko ya kidijitali ya Tanzania,” amesema.

Waziri Omar, amesema kampuni hiyo inatakuwa kuendelea kuwekeza katika miundombinu ya mawasiliano na mchango wake katika maendeleo ya uchumi wa nchi.

Amebainisha kwamba sekta ya mawasiliano ina nafasi muhimu katika kuunda fursa za ajira, kusaidia shughuli za biashara na kuchangia mapato ya serikali.

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel, Charles Kamoto alisema futari hiyo ilikuwa maalumu kwa viongozi wa serikali na wadau mbalimbali ikiwa na lengo la kuwaweka katika hali ya umoja, kutafakari na kutoa shukrani wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadani.

Amesema anawashukuru wadau mbalimbali kwa ushirikiano wao na kwamba ana imani futari hiyo imekuwa nafasi muhimu ya kuwakutanisha pamoja ikiwemo kubadilishana mawazo.

“Ramadani wakati wa kutafakari, kujitolea na mshikamano, tunashukuru kushiriki wakati huu maalumu na wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali wanaendelea kutusaidia katika safari yetu ya kuunganisha Tanzania,” amesema.

Previous Post

RAIS DK. SAMIA AIPAISHA TANZANIA MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI

Next Post

MO DEWJI AIPAISHA TANZANIA KIMATAIFA

Next Post
MO DEWJI AIPAISHA TANZANIA KIMATAIFA

MO DEWJI AIPAISHA TANZANIA KIMATAIFA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

NITASHIRIKIANA NAYE KULETA MAENDELEO

NITASHIRIKIANA NAYE KULETA MAENDELEO

9 months ago
TUMEJIPANGA AFCON 2027

TUMEJIPANGA AFCON 2027

5 months ago

Popular News

  • RAIS DK. SAMIA ATAKA MIKOPO ISIWE MZIGO

    RAIS DK. SAMIA ATAKA MIKOPO ISIWE MZIGO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • AFRIKA KUCHOCHEA UTUNZAJI MAZINGIRA KUPITIA NISHATI SAFI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWAKINYO AOMBA RADHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • YANGA, SIMBA NI KIVINGINE ZAIDI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MEXICO YAANZA KWA KISHINDO WC, KADI ZATEMBEA HATARI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?