• ePaper
Sunday, July 26, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

GAMONDI AITA JESHI LA MAANGAMIZI, MANULA NDANI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 18, 2026
in Burudani, Habari, Michezo
0
GAMONDI AITA JESHI LA MAANGAMIZI, MANULA NDANI
0
SHARES
8
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na NASRA KITANA

KOCHA wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Miguel Gamondi ameita kikosi cha wachezaji 25 akiwemo kipa wa Azam FC, Aishi Manula.

Gamondi raia wa Argentina amekiita kikosi hicho kwa mechi maalumu za kirafiki za Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA Series) zitakazochezwa nchini Rwanda kuanzia Machi 26 hadi 29, mwaka huu.

Katika kalenda hiyo, Taifa Stars itachuana na Liechtenstein na Aruba au Macau.

Akitangaza kikosi hicho jijini Dar es Salaam, Gamondi alisema anaamini kikosi alichokiita kitakwenda kufanya vyema katika mechi hizo.

Gamondi alisema kwake siku zote hakuna mechi ya kirafiki anapenda kushinda kila mchezo.

“Siku zote kwangu mimi hakuna mchezo wa kirafiki, kila mchezo kwangu ni kama fainali, tunahitaji kupata ushindi katika kila mchezo ili tuweze kuimarika zaidi na kuw bora,” alisema Gamondi.

Wachezaji aliowaita kocha huyo ni Manula (Azam FC), Yona Amosi (Pamba Jiji), Zuberi Foba (Azam FC), Mohamed Mussa (Mashujaa Fc), Twalib Nuru (Azam FC), Bakari Msimu (Coastal Union), Elias Lameck (Azam FC) Haji Mnoga (Salford City, Uingereza) Nickson Kibabage (Simba SC) .

Wengine ni Bakari Mwamnyeto (Yanga) Mohamed Hussein (Yanga) Ibrahim Abdulla’Bacca’ (Yanga) Yusuph Kagoma (Simba), Kelvin Nashon (Pamba Jiji), Mudathir Yahya (Yanga), Novatus Dismas (Göztepe, Uturuki) na Alphonce Mabula (Shamakhi, Azerbaijan).

Wachezaji wengine ni Feisal Salum (Azam FC, Saimon Msuva (Al-Talaba, Iraq), Kelvin John (Aalborg Bk, Denmark), Iddi Suleiman (Azam FC), Charles M’mombwa (Floriana FC, Malta), Tarryn Allarakhia (Rochdale AFC, Uingereza), Paul Peter (JKT Tanzania) na Suleiman Mwalimu (Simba).

Previous Post

NSSF YAWANOA WAAJIRI, YASISITIZA UWASILISHAJI WA MICHANGO KWA WAKATI

Next Post

PALE PANAPOUMA ZAIDI

Next Post
PALE PANAPOUMA ZAIDI

PALE PANAPOUMA ZAIDI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MRADI ZIWA VICTORIA MBIONI KUKAMILIKA

MRADI ZIWA VICTORIA MBIONI KUKAMILIKA

5 months ago
RAIS DK. SAMIA ATAKA MIKOPO ISIWE MZIGO

RAIS DK. SAMIA ATAKA MIKOPO ISIWE MZIGO

1 month ago

Popular News

  • KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MABASI YA UMEME REKODI ZANZIBAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KOCHA AIPA JEURI YANGA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWALIMU, GUEYE WAPO SIMBA SANA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI ASHTUKIA ‘USANII’ WA WACHIMBAJI MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?