• ePaper
Thursday, May 21, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

MZEE MPILI:MIMI MZIMA SIJAFA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 21, 2026
in Burudani, Habari, Kitaifa, Michezo
0
MZEE MPILI:MIMI MZIMA SIJAFA
0
SHARES
56
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

SHABIKI na mwanachama maarufu wa Klabu ya Yanga, Haji Omary ‘Mzee Mpili’, ameibuka na kukanusha kuzushiwa kifo na baadhi ya watu.

Asubuhi, katika baadhi ya mitandao ya kijamii zilizuka tetesi kwamba Mzee Mpili amefariki kitu ambacho siyo kweli.

Akizungumza kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook, Mzee Mpili amesema amesikitishwa na taarifa za kuzushiwa kifo.

Amesema hilo tukio lilitokea jana kwa mara ya pili na hivyo kuna baadhi ya watu wenye chuki ambao wamekuwa wakisambaza habari za uongo.

Amesema waliomzushia kufariki wao siyo Mungu, hivyo wanaendelea kumwongezea muda mrefu zaidi wa kuishi.

“Nilisikia kwamba nimezushiwa kifo katika mitandao ya kijamii, mimi nipo na sina tatizo na mtu.

“Wale wanaonizushia kifo ni mara ya pili hivi sasa na wao siyo Mungu, hivyo wananiongezea muda mrefu zaidi wa kuishi.

“Niwatoe hofu watu wote na tayari nimeshazungumza na baadhi ya viongozi wa Yanga kwamba mimi nipo salama,” amesema Mzee Mpili.

Previous Post

KUKOSA UMAKINI KWAIPONZA YANGA

Next Post

TANZANIA YAJIPANGA KUNUFAIKA NA GESI TRILIONI 57.54, WAWEKEZAJI WAALIKWA

Next Post
TANZANIA YAJIPANGA KUNUFAIKA NA GESI TRILIONI 57.54, WAWEKEZAJI WAALIKWA

TANZANIA YAJIPANGA KUNUFAIKA NA GESI TRILIONI 57.54, WAWEKEZAJI WAALIKWA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

YANGA , SILVER NI MECHI YA KISASI NA HESHIMA

YANGA , SILVER NI MECHI YA KISASI NA HESHIMA

7 months ago
MAASKOFU WABEBA AJENDA YA UMOJA

MAASKOFU WABEBA AJENDA YA UMOJA

2 months ago

Popular News

  • MWANZO, MWISHO SIMULIZI MAUAJI YA MCHINA DAR

    MWANZO, MWISHO SIMULIZI MAUAJI YA MCHINA DAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KUDUMISHA SERA YA CHINA MOJA NA KUIMARISHA URAFIKI KATI YA CHINA NA TANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, COASTAL HAPATOSHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RIO USIPIME KABISA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA AWAPA TABASAMU WAPIGANAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?