• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

MUOSHA MAGARI AAMRIWA KUFANYA USAFI MAHAKAMANI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
April 15, 2026
in Habari, Kitaifa
0
MUOSHA MAGARI AAMRIWA KUFANYA USAFI MAHAKAMANI
0
SHARES
2
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na SYLVIA SEBASTIAN 

MAHAKAMA ya Mwanzo Kariakoo, Dar es Salaam, imemhukumu muosha magari John Mpali, kifungo cha nje cha miezi miwili kwa kufanya usafi mahakama hapo.

Pia, mahakama imemwamuru Mpali kumrudishia sh.110,000 mlalamikaji Mohamed Ango, baada ya kukiri kosa la wizi wa fedha hizo, zilizokuwa ndani ya gari.ed Ango.

Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Mpoki Mwabela, baada ya mshitakiwa kusomewa shtaka na kukiri.

Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mpoki alisema kwa sababu mshitakiwa alikiri shtaka na hakutaka kuisumbua mahakama, hivyo anamhukumu kifungo cha nje cha miezi miwili na kurudisha fedha ifikapo Mei 13, mwaka huu.

Kabla ya kutolewa adhabu, mshitakiwa aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa madai ni kosa lake la kwanza na yuko tayari kumrudishia mlalamikaji fedha zake.

Kwa mujibu wa hati ya mashitaka, mshitakiwa alitenda kosa hilo, Aprili Mosi, mwaka huu, Posta karibu na Hoteli ya Holiday Inn, mtaa wa Azikiwe, Dar es Salaam.

Mshitakiwa aliiba fedha zilizokuwa ndani ya gari alilopewa na mlalamikaji kuosha.

Previous Post

SERA USIMAMIZI MALI ZA UMMA, KICHOCHEO CHA UKUAJI UCHUMI

Next Post

MAMBO YAANZA KUNOGA MEI MOSI

Next Post
MAMBO YAANZA KUNOGA MEI MOSI

MAMBO YAANZA KUNOGA MEI MOSI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. MWIGULU MGENI RASMI MTOKO WA CHRISTINA SHUSHO

DK. MWIGULU MGENI RASMI MTOKO WA CHRISTINA SHUSHO

2 weeks ago
WANASIASA WAELEZA IMANI YAO TUME YA JAJI CHANDE

WANASIASA WAELEZA IMANI YAO TUME YA JAJI CHANDE

2 weeks ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?