• ePaper
Wednesday, June 24, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

RAIS DK. SAMIA KUZINDUA JENGO LA BILIONI 17/- KCMC

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
June 23, 2026
in Habari, Kimataifa
0
RAIS DK. SAMIA KUZINDUA JENGO LA BILIONI 17/- KCMC
0
SHARES
11
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na WILLIUM PAUL, Kilimanjaro

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, kesho anatarajia kuzindua jengo la tiba mionzi katika Hospitali ya Rufani ya Kanda KCMC mkoani Kilimanjaro, lenye thamani ya sh. bilioni 17.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu ujio wa Rais Dk. Samia mkoani humo.

Alisema Rais Dk. Samia, anatarajia kuwasili mkoani humo kesho kwa ziara ya siku moja.

Alisema lengo la ziara hiyo ni kuzindua jengo la tiba ya mionzi katika Hospitali KCMC, ambalo limegharimu sh. bilioni 17, likiwa na vifaa vyake.

Kwa mujibu wa Babu, kati ya fedha hizo, serikali imechangia kiasi cha shilingi bilioni 5.5.

Babu alisema uchangiaji huo wa serikali ni mwendelezo wa kushirikiana na wadau pamoja na taasisi zisizo za serikali kuwaletea wananchi maendeleo.

Babu alisema kila mwezi, imekuwa ikitoa sh. bilioni moja kulipa mishahara ya watumishi katika hospitali hiyo.

“Rais Dk. Samia atafanya ziara ya kikazi ya siku moja Kilimanjaro, lengo la ziara yake ni kuja kufanya kazi ya uzinduzi wa jengo la tiba mionzi katika Hospitali ya KCMC.

“Mkumbuke kuwa, jengo hili liliwekwa jiwe la msingi na yeye mwenyewe Oktoba 16 mwaka 2021, hivi sasa limekamilika,”alisema.

Previous Post

BODABODA WAKINGIWA KIFUA

Next Post

HATUTAVUMILIA UHUJUMU WA MIRADI – NDEJEMBI

Next Post
HATUTAVUMILIA UHUJUMU WA MIRADI – NDEJEMBI

HATUTAVUMILIA UHUJUMU WA MIRADI - NDEJEMBI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

IDADI WAGONJWA FIGO YAFIKIA 3,342

IDADI WAGONJWA FIGO YAFIKIA 3,342

3 months ago
MWIGULU AKAZIA MAMBO NYETI

MWIGULU AKAZIA MAMBO NYETI

5 months ago

Popular News

  • YANGA, AZAM FC HAIJAISHA HADI IISHE

    YANGA, AZAM FC HAIJAISHA HADI IISHE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA MIAKA 30 TRA, YAGUSA WABUNGE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HATUTAVUMILIA UHUJUMU WA MIRADI – NDEJEMBI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA KUZINDUA JENGO LA BILIONI 17/- KCMC

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • BODABODA WAKINGIWA KIFUA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?