• ePaper
Sunday, July 26, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

IBENGE ALIA NA WASHAMBULIAJI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 5, 2025
in Burudani, Michezo
0
IBENGE ALIA NA WASHAMBULIAJI

KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge

0
SHARES
15
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na NASRA KITANA

BAADA ya kupata suluhu dhidi ya Singida Black Stars, Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema kilio chake kikubwa hivi sasa ni wachezaji wake kushindwa kutumia vyema nafasi wanazozipata.

Azam FC ililazimishwa suluhu hiyo juzi katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

Ibenge amesema sababu kubwa iliyofanya washindwe kupata matokeo mazuri ni wachezaji wake kukosa utulivu eneo la mwisho hiyo kusababisha kushindwa kupata matokeo.

Amesema ana kazi kubwa ya kuhakikisha anawanoa washambuliaji wake watumie vyema nafasi wanazozipata kutimiza malengo.

“Sare tatu mfululizo siyo kitu kizuri ndani ya timu hiyo inasababishwa na wachezaji wangu kukosa utulivu eneo la mwisho, hivyo nina kazi kubwa ya kufanya kuhakikisha wanatumia vyema nafasi wanazozitengeneza,” amesema Ibenge.

Naye Kocha wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema kikosi chake hakijacheza vizuri ila anafurahia kupata pointi moja muhimu.

Alisema kuwa kupata pointi moja ugenini ni jambo zuri lakini anaimani kuwa timu yake itaenda kufanya vizuri zaidi katika mechi zinazofuata.

Previous Post

SIMBASC INATOBOA HAPA KIMATAIFA

Next Post

JUKWAA LA WANAWAKE LAIBUKA  NA MAAZIMIO 10 KUHUSU AMANI

Next Post
JUKWAA LA WANAWAKE LAIBUKA  NA MAAZIMIO 10 KUHUSU AMANI

JUKWAA LA WANAWAKE LAIBUKA  NA MAAZIMIO 10 KUHUSU AMANI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

AZAM YAZITOLEA MACHO WYDAD, NAIROBI UTD NA AS MANIEMA

AZAM YAZITOLEA MACHO WYDAD, NAIROBI UTD NA AS MANIEMA

9 months ago
SERIKALI YATENGA BIL. 240/- KUJENGA MASOKO 30 NCHINI

SERIKALI YATENGA BIL. 240/- KUJENGA MASOKO 30 NCHINI

3 days ago

Popular News

  • KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MABASI YA UMEME REKODI ZANZIBAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KOCHA AIPA JEURI YANGA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWALIMU, GUEYE WAPO SIMBA SANA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI ASHTUKIA ‘USANII’ WA WACHIMBAJI MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?