• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

YANGA, MAYO USO KWA USO

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 19, 2025
in Burudani, Michezo
0
YANGA, MAYO USO KWA USO

Khanyisa Mayo

0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

UONGOZI wa klabu ya Yanga umefungua mazungumzo na  klabu ya Cr Belouizdad kwa ajili ya kuinasa saini ya mshambuliaji, Khanyisa Mayo.

Taarifa iliyopatikana kutoka ndani ya uongozi wa klabu hiyo, imeeleza kuwa mchezaji huyo huenda akasajiliwa muda wowote katika kipindi cha dirisha dogo la usajili.

Kanyisa Mayo kwa sasa anaichezea timu ya Kaizer Ciefs ya Afrika Kusini ambapo amepelekwa huko kwa mkopo akitokea CR Belouizdad.

Chanzo cha habari kimeeleza kwamba mchezaji huyo kama atakubali ofa ya Yanga muda wowote akikutana na viongozi wa klabu hiyo atasaini mkataba wa kuvaa uzi wa njano na kijani.

Katika hatua nyingine, klabu za Mbeya City na Pamba FC bado zinaendelea kuwafuatilia baadhi ya wachezaji wa Yanga ili kuwasajili.

Timu hizo, zimeonesha nia ya kutaka kunasa saini ya kiungo Farid Mussa ambapo kila moja kivyake imeonesha nia hiyo.

Pia, timu za TRA United na KMC nazo zimeonesha nia ya kutaka kumsajili Denis Nkane kwa mkopo.

UHURU imemtafuta Rais wa klabu ya Yanga lakini juhudi za kumpata zilishindikana.

Previous Post

MACHO YA MASHABIKI AFCON 2025 YAPO HAPA RABAT, MOROCCO

Next Post

KUTUMIA DINI KWA AJENDA ZA KISIASA NI KUFURU – PAPA LEO

Next Post
KUTUMIA DINI KWA AJENDA ZA KISIASA NI KUFURU – PAPA LEO

KUTUMIA DINI KWA AJENDA ZA KISIASA NI KUFURU – PAPA LEO

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

KOCHA GAMONDI AJIVUNIA TAIFA STARS

KOCHA GAMONDI AJIVUNIA TAIFA STARS

5 months ago
HATMA YA MANGUNGU BAADA YA SIMBA, ATLETICO

HATMA YA MANGUNGU BAADA YA SIMBA, ATLETICO

2 months ago

Popular News

  • MAFANIKIO YA KISHINDO SGR

    MAFANIKIO YA KISHINDO SGR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NYAMBUI AFUNGUKAAMANI KATIKA MICHEZO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • YANGA, MBEYA CITY KAZI IPO LEO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AFICHUA KUWA NA KIPAJI CHA SOKA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?