• ePaper
Saturday, June 6, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

JELA MIAKA 25 KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 26, 2025
in Habari, Kitaifa
0
JELA MIAKA 25 KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
0
SHARES
12
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

NA MWANDISHI WETU

MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imemuhukumu Iddi Nassoro kifungo cha miaka 25 gerezani baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroine kilo 1.02.

Nassoro alikamatwa na dawa hizo katika Stendi ya Mabasi Magufuli iliyopo Mbezi akisafirisha kwenda mkoani Tanga ambapo katika kesi hiyo wenzake watatu wameachiwa huru.

Hukumu hiyo ilitolewa mahakamani hapo na Jaji Godfrey Isaya baada ya mahakama kupitia ushahidi wa pande zote mbili.

Baada ya mahakama kupitia ushahidi huo, ilithibitisha shtaka la kusafirisha dawa za kulevya pasipo kuacha shaka dhidi ya mshtakiwa wa pili.

Jaji Isaya alisema mahakama iliona upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha mashtaka dhidi ya mshtakiwa wa kwanza Maliki Maliki, Ally Maliki ambaye ni kocha wa mpira wa miguu na Mwingi Mwinyi hivyo iliwaachia huru.

Washtakiwa katika shauri hilo walikuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ambapo katika shtaka la kwanza walidaiwa Machi 24 mwaka 2022 maeneo ya Stendi ya Magufuli Mbezi walikutwa wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroine kilo 1.02 kwenda mkoani Tanga.

Previous Post

MIILI YA WALIOFARIKI AJALI YA HELKOPTA YATAMBULIWA

Next Post

SERIKALI YATOA MILIONI 800/- UJENZI KITUO CHA POLISI

Next Post
SERIKALI YATOA MILIONI 800/- UJENZI KITUO CHA POLISI

SERIKALI YATOA MILIONI 800/- UJENZI KITUO CHA POLISI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. SAMIA AMEONESHA UMAHIRI KATIKA UONGOZI – DK. NCHIMBI

DK. SAMIA AMEONESHA UMAHIRI KATIKA UONGOZI – DK. NCHIMBI

8 months ago
TANZANIA NA CHINA ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI

TANZANIA NA CHINA ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI

5 months ago

Popular News

  • MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WFP KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA USIMAMIZI WA MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HESHIMA KUBWA KWA TANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU: MAMBO MAZURI YANAKUJA, AIPA TANO SERENGETI BOYS

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERENGETI BOYS HESHIMA KILA KONA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?