• ePaper
Sunday, June 7, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

KIHONGOSI ATOBOA SIRI UIMARA WA CCM

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
January 23, 2026
in Habari, Kitaifa
0
KIHONGOSI ATOBOA SIRI UIMARA WA CCM
0
SHARES
7
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na SUPERIUS ERNEST

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema msingi wa uimara wake umeanzia katika mashina na ndiyo sababu kimeendelea kuwa imara.

Hayo yalisemwa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, aliposhiriki kikao cha Shina Namba ya Moja, Tawi la Puma, Kata ya Puma, wilayani Ikungi wakati akiendelea na ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM mkoani Singida.

“Nimefurahi kushiriki kikao hiki cha Shina Namba moja, niwapongeze viongozi wote wa Tawi kwa uimara wenu. Niwajulishe tu kwamba CCM ni tofauti na vyama vingine, kwani msingi wa Chama chetu ni nguvu ya mashina na wajumbe wa mashina,”alisema.

Alisema kwa msingi huo, ndiyo maana ziara yake inalengo la kukagua na kuimarisha uhai wa mashina ili Chama kiendelee kuwa imara.

Kihongosi alisema CCM ilipata ushindi wa kishindo katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 mwaka jana ambapo Rais Dk. Samia alipigiwa kura nyingi za ushindi.

Alisema wale wanaoibua hoja kuhusu ushindi wa Chama, niwakupuuza kwani hawaijui msingi wa CCM umeanzia katika mashina siyo wakushtukiza.

Aliwataka wanachama kuendelea kushiriki vikao vya mashina kwani ndiyo msingi na uimara wa Chama.

“Katika ziara hii mkoani hapa, mimi napita katika mashina machache, lakini Katibu Mkuu wetu wa Chama, Balozi Dk. Rose Migiro, amenieleza kuwa atakuja kufanya ziara kupita kila shina kuzungumza na wajumbe wake,”alisema.

Previous Post

RAIS DK. SAMIA KINARA UPANDAJI MITI

Next Post

URASIMU SASA BASI

Next Post
URASIMU SASA BASI

URASIMU SASA BASI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. MPANGO ATOA MAAGIZO6 MUHIMU TAASISI ZA UMMA

DK. MPANGO ATOA MAAGIZO6 MUHIMU TAASISI ZA UMMA

9 months ago
UJUMBE WA KILAINI, ANNA ABDALLAH MWAKA 2026

UJUMBE WA KILAINI, ANNA ABDALLAH MWAKA 2026

5 months ago

Popular News

  • MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WFP KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA USIMAMIZI WA MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HESHIMA KUBWA KWA TANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU: MAMBO MAZURI YANAKUJA, AIPA TANO SERENGETI BOYS

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERENGETI BOYS HESHIMA KILA KONA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?