• ePaper
Thursday, April 30, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

IBENGE FURAHA TELE

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 13, 2026
in Burudani, Habari, Kitaifa, Michezo
0
IBENGE FURAHA TELE
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

BAADA ya ushindi wa mabao 3-0, Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge amesema amefurahishwa na kiwango kizuri walichokionesha wachezaji wake katika mechi dhidi ya Dodoma Jiji.

Azam ilipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, uliofanyika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

Akizungumza baada ya kumaliza mchezo huo, kocha huyo alisema kufuatia kupata sare michezo miwili alikaa na kuzungumza na wachezaji na kuwahamasisha kupambana kuhakikisha timu inafanya vizuri.

Alisema katika mchezo huo, kila mchezaji alipambana na kutimiza majukumu yake uwanjani ndiyo maada waliibuka na ushindi.

“Ninafurahi kwa sababu wachezaji wangu wamecheza vizuri baada ya kutoka sare michezo miwili, niliongea nao jinsi ya kupambana ili kupata ushindi na kuondoka na pointi tatu muhimu katika mchezo wetu.

“Ninashukuru kuona wachezaji walipambana na kupata pointi tatu ikiwemo kuonesha kiwango kizuri tofauti na mechi zingine ambazo tulicheza,pia ninataka kushinda haijalishi iwe nyumbani au ugenini,” alisema Ibenge.

Kocha huyo alisema mbali ya kupata ushindi wa mabao 3-0, lakini mchezo haukuwa rahisi tofauti na tulivyotarajia.

“Licha ya kupata ushindi, lakini mchezo ulikuwa mgumu ninashukuru wachezaji walipambana hadi kupata matokeo ambayo yametupa pointi tatu, muhimu, hivi sasa tunakwenda kujipanga na michezo mingine ijayo,” alisema Ibenge.

Katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam imefikisha pointi 27 ikiwa nafasi ya tatu baada baada ya kucheza mechi 13 hadi hivi sasa.

Previous Post

SERIKALI KUWABEBA WASANII, WANAHABARI

Next Post

ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

Next Post
ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MO DEWJI AIPAISHA TANZANIA KIMATAIFA

MO DEWJI AIPAISHA TANZANIA KIMATAIFA

2 months ago
FCC, TCRA KUCHUNGUZA GHARAMA ZA BANDO NCHINI 

FCC, TCRA KUCHUNGUZA GHARAMA ZA BANDO NCHINI 

2 months ago

Popular News

  • TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • VYALENGA KUIJENGA JAMII KIUCHUMI NA KIROHO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KUVUMILIANA MUHIMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI SANGU ABAINISHA HIFADHI SKIMU INAVYOENDA KUBADILI MAISHA YA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUCTA: WAAJILI WATEKELEZE NYONGEZA YA KIMA CHA MISHAHARA SEKTA BINAFSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?