• ePaper
Sunday, July 26, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

MVUA KUBWA KUNYESHA SIKU TANO MIKOA NANE

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 21, 2026
in Habari, Kitaifa
0
MVUA KUBWA KUNYESHA SIKU TANO MIKOA NANE
0
SHARES
11
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imetangaza kunyesha mvua kubwa siku tano mfululizo katika mikoa nane nchini, huku ikitoa angalizo kwa wananchi kuchukua tahadhari kuepuka athari.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo, mvua inatarajiwa kunyesha kesho katika mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Morogoro, Lindi, Mtwara na Pwani huku ikijumisha visiwa vya Mafia na Unguja na Pemba.

Taarifa hiyo ilitaja athari zinazoweza kujitokeza ni baadhi ya makazi kuzungukwa na maji, hivyo kila mwananchi anatakiwa kuchukua tahadhari.

“Kuna uwezekano wa kutokea athari kwa sababu ya mvua hiyo,” ilieleza taarifa ya TMA.

Ilibainisha kuna haja ya kuchukua tahadhari ya mvua hiyo leo, hususan mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Tanga, Dar es Salaam, Morogoro, Lindi, Mtwara na Pwani ikijumuisha visiwa vya Mafia pamoja na Unguja na Pemba.

Previous Post

MWANASHERIA WA KWANZA MWANAMKE UDSM AFARIKI

Next Post

KUKOSA UMAKINI KWAIPONZA YANGA

Next Post
KUKOSA UMAKINI KWAIPONZA YANGA

KUKOSA UMAKINI KWAIPONZA YANGA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

KIHONGOSI ATOA MAAGIZO KWA MADIWANI 

KIHONGOSI ATOA MAAGIZO KWA MADIWANI 

8 months ago
TUZO YA CAF KWA RAIS DK. SAMIA NI HESHIMA

TUZO YA CAF KWA RAIS DK. SAMIA NI HESHIMA

8 months ago

Popular News

  • KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MABASI YA UMEME REKODI ZANZIBAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KOCHA AIPA JEURI YANGA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWALIMU, GUEYE WAPO SIMBA SANA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI ASHTUKIA ‘USANII’ WA WACHIMBAJI MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?