• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

CHANETA IMANI KIBAO NA TUME HURU YA UCHUNGUZI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 31, 2026
in Habari, Kitaifa
0
CHANETA IMANI KIBAO NA TUME HURU YA UCHUNGUZI
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

UONGOZI wa Chama Cha Netiboli Tanzania (CHANETA) umesema una imani na Tume Huru ya Uchunguzi iliyoundwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuchunguza vurugu zilizotokea Oktoba 29, mwaka jana.

Akizungumza Dar es Salaam, Mwenyekiti wa CHANETA, Stella Mwangomale amesema ana imani tume hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Mohammed  Chande Othman ambaye ni Jaji Mkuu mstaafu italeta majibu sahihi kutoka na weledi wa viongozi waliomo.

Aidha, Mwenyekiti huyo alisema amani ni kitu muhimu katika nchi kwa sababu inasababisha uchumi unakua kupitia michezo ambapo vijana wanashiriki mashindano mbalimbali ambayo yanawapatia heshima kimataifa na kukuza uchumi wao.

“Nchi ikiwa na amani kila kitu kinakwenda vizuri hivyo kwangu nina imani na tume huru iliyoundwa na Rais Dk. Samia kwa sababu tuliona kipindi cha vurugu shughuli mbalimbali zilisimama zikiwemo za michezo.

“Hakuna mtu yoyote ambaye alijitokeza uwanjani kufanya jambo lolote hiyo, ukweli pale uchumi ulishuka katika michezo, Watanzania wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani ya taifa kwani ndiyo tunu muhimu kwetu,” alisema.

Mwenyekiti huyo aliongeza kuwa nchi ikiwa na amani ni heshima na itaweza kupata uwenyeji wa michuano mbalimbali na hapo uchumi utaweza kukua.

Previous Post

CHAI YA MOTO KUPITA KIASI YATAJWA KUCHOCHEA SARATANI YA KOO

Next Post

DIARRA MTEGONI TUZO KIPA BORA

Next Post
DIARRA MTEGONI TUZO KIPA BORA

DIARRA MTEGONI TUZO KIPA BORA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MTANDAO WA GESI KINYEREZI HADI CHALINZE, SASA WANUKIA

MTANDAO WA GESI KINYEREZI HADI CHALINZE, SASA WANUKIA

7 months ago
TANZANIA YANG’ARA MKUTANO MKUU WA KUPAMBANA NA RUSHWA JIJINI DOHA, QATAR

TANZANIA YANG’ARA MKUTANO MKUU WA KUPAMBANA NA RUSHWA JIJINI DOHA, QATAR

4 months ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?