• ePaper
Wednesday, September 9, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

KOCHA SIMBA ACHEFUKWA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
May 26, 2026
in Burudani, Habari, Michezo
0
KOCHA SIMBA ACHEFUKWA
0
SHARES
10
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

RATIBA ngumu ya Ligi Kuu Tanzania Bara imetajwa kuwa sababu ya Simba kutopata matokeo mazuri, waliyotarajia katika mchezo dhidi ya Dodoma Jiji.

Simba iliumana na Dodoma Jiji juzi, katika mechi iliyopigwa  Uwanja wa KMC Complex , Mwenge jijini Dar es Salaam. ilishinda 1-0 na kuvuna alama tatu.

Katika pambano hilo, bao la ushindi lilifungwa na Elie Mpanzu dakika ya 63.

Akizungumza baada ya kumaliza mchezo huo, Barker alisema timu yake imekuwa na ratiba ngumu ya kucheza, hali ambayo inasababisha kutopata ushindi mnono.   

“Hii ni mechi ya 16 ndani ya siku 52, si jambo zuri kwa wachezaji maana wanakosa muda wa kupumzika” alisema kocha, mechi zimekuwa nyingi sana,” alilalama kocha.

 Kocha huyo alisema uwepo wa mechi  za timu ya taifa katika kalenda ya Shirkisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), utatoa nafasi ya wachezaji wake kupumzika na kufanya maandalizi mazuri kwa michezo iliyobaki.

Kocha wa Dodoma Jiji, Amani Josiah alisema amefurahi kuona mpango kazi wake umeleta ushindani katika  mechi yao dhidi ya Simba.

‘Mechi ilikuwa na ushindani mkubwa, nawapongeza wachezaji wangu kwani wamefuata yale niliyowaelekeza, nimefurahishwa na kiwango cha kipa wangu, Daniel Mgore,” alisema Josiah.

Previous Post

KOCHA SERENGETI BOYS AFUNGUKA

Next Post

NEEMA YA AJIRA MAMBO YA NDANI

Next Post
NEEMA YA AJIRA MAMBO YA NDANI

NEEMA YA AJIRA MAMBO YA NDANI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

RIPOTI TUME YA JAJI CHANDE NI KIUNGANISHI CHA WANANCHI

RIPOTI TUME YA JAJI CHANDE NI KIUNGANISHI CHA WANANCHI

4 months ago
SMZ YAPONGEZA UDHAMINI KOMBE LA MAPINDUZI 

SMZ YAPONGEZA UDHAMINI KOMBE LA MAPINDUZI 

8 months ago

Popular News

  • RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI AONYA, ATOA SIKU 60 WENYE SILAHA HARAMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NDEJEMBI MZIGONI RASMI, AKEMEA KAZI KWA MAZOEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUME MIPANGO, NIRC WAJADILI UBORA MIRADI YA UMWAGILIAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MASAUNI AANIKA UMAHIRI WA TANZANIA INAVYOLINDA UDONGO, MATUMIZI MBOLEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?