• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

MBAPPE AMFIKIA HENRY UFARANSA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 7, 2025
in Burudani, Kimataifa, Michezo
0
MBAPPE AMFIKIA HENRY UFARANSA
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

PARIS, Ufaransa

NAHODHA wa Ufaransa, Kylian Mbappe amesema kufikia idadi ya mabao yaliyofungwa na mkongwe Henry katika timu hiyo ya taifa ni jambo lisilo la kawaida.

Mbappe amefikia mabao 51 yaliyofungwa na Henry katika timu hiyo baada ya juzi kufunga bao moja katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ukraine katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia.

Mchezaji huyo hivi sasa anahitaji mabao sita pekee kumfikia Olivier Giroud ambaye ndiye mfungaji bora wa muda wote wa Ufaransa, akiwa na mabao 57.

“Hongera sana kwa Titi (Henry), lakini sasa nataka kumpita yeye. Ni heshima kubwa kuwa sawa na mchezaji kama Henry, kila mmoja anajua Henry ana maana gani kwetu watu wa Ufaransa. Nina heshima kubwa sana kwake na ninamkubali,” alisema.

Henry alikuwa sehemu ya kikosi cha Ufaransa kilichoshinda Kombe la Dunia mwaka 1998 akiwa na umri wa miaka 20, huku Mbappe akishinda taji hilo mwaka 2018 akiwa na miaka 19.

“Rekodi inazidi kukaribia, lakini sio kitu ninachokifikiria. Sijui ni kwa sababu nafikiria ninaweza kuivunja au kwa sababu nafikiri kuna mambo mengi ya muhimu zaidi,” alisema.

Previous Post

ARAJIGA, KAYOKO HAOO CAFCL

Next Post

GAMONDI ALIA NA MUUNGANIKO

Next Post
GAMONDI ALIA NA MUUNGANIKO

GAMONDI ALIA NA MUUNGANIKO

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MANGUNGU AFUNGUKA SIMBA

MANGUNGU AFUNGUKA SIMBA

2 months ago
AHUKUMIWA KUNYONGWA KWA KUTIWA HATIANI KUUA

AHUKUMIWA KUNYONGWA KWA KUTIWA HATIANI KUUA

5 months ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?