• ePaper
Wednesday, September 9, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

SIMBACHAWENE AHIMIZA KUDUMISHA ZAIDI AMANI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 27, 2025
in Habari, Kitaifa
0
SIMBACHAWENE AHIMIZA KUDUMISHA ZAIDI AMANI

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene

0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na ELIZABETH JOHN

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewasihi wananchi kudumisha amani, kushirikiana na Jeshi la Polisi, kuhakikisha usalama wa taifa unaendelea kuimarika.

Simbachawene aliyasema hayo Dar es Salaam, katika ziara yake ya kutembelea baadhi ya vituo vya Jeshi la Polisi, vilivyochomwa moto jijini katika vurugu zilizotokea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu.

Vituo alivyotembelea Waziri Simbachawene ni Mbezi Juu, Ubungo, Temboni na Salasala.

Alisema uharibifu wa miundombinu ya vituo hivyo, umekwamisha utendaji kazi wa baadhi ya vituo, jambo lililosababisha wananchi kushindwa kupata huduma.

Aliwaomba wananchi kuendeleza mshikamano na Jeshi la Polisi kwa kuwa, ndiyo msingi wa kudumisha amani na usalama wa Taifa.

Aidha, Simbachawene, alisema serikali imeanza hatua za haraka kuhakikisha miundombinu ya Jeshi la Polisi, inarejeshwa kwa ufanisi na wananchi waendelee kupata huduma.

Simbachewene aliwataka wananchi kudumisha mshikamano na Jeshi la Polisi na kushirikiana kwa karibu kuhakikisha upendo, amani na utulivu wa jamii vinaimarishwa.

Previous Post

SERIKALI YAITA SEKTA BINAFSI KUWEKEZA SGR

Next Post

WAZIRI CHONGOLO AELEKEZA MIFUMO TOSCI ISOMANE

Next Post
WAZIRI CHONGOLO AELEKEZA MIFUMO TOSCI ISOMANE

WAZIRI CHONGOLO AELEKEZA MIFUMO TOSCI ISOMANE

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MAAGIZO YA DK. MWINYI KWA WATUMISHI Z’BAR

MAAGIZO YA DK. MWINYI KWA WATUMISHI Z’BAR

11 months ago
WAFANYABIASHARA MSIWAUMIZE WANANCHI-DK. MWIGULU

WAFANYABIASHARA MSIWAUMIZE WANANCHI-DK. MWIGULU

7 months ago

Popular News

  • RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI AONYA, ATOA SIKU 60 WENYE SILAHA HARAMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NDEJEMBI MZIGONI RASMI, AKEMEA KAZI KWA MAZOEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUME MIPANGO, NIRC WAJADILI UBORA MIRADI YA UMWAGILIAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MASAUNI AANIKA UMAHIRI WA TANZANIA INAVYOLINDA UDONGO, MATUMIZI MBOLEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?