• ePaper
Thursday, July 30, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

KETE MUHIMU KWA YANGA LEO

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 28, 2025
in Burudani, Kitaifa, Michezo
0
KETE MUHIMU KWA YANGA LEO
0
SHARES
10
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na NASRA KITANA

YANGA leo itakuwa dimbani kusukuma kete yake muhimu dhidi ya JS Kabylie ya Algeria, kujiweka nafasi nzuri zaidi katika mbio za kuwania kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL).

Timu hiyo yenye maskani yake mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam, itachuana na Kabylie katika mechi ya pili ya kundi B la michuano hiyo itakayopigwa Uwanja wa Hocine Ait Ahmed, Tizi Ouzou nchini Algeria.

Katika mtanange huo utakaoanza saa 1:00 usiku, Yanga inahitaji ushindi au sare ya aina yoyote kuweka sawa hesabu zake katika safari ya kutinga robo fainali kufuatia mechi ya kwanza dhidi ya AS Far Rabat ya Morocco, kushinda bao 1-0 nyumbani.

Akizungumzia mechi hiyo, Kocha wa Yanga, Pedro Goncalves, amesema ameiandaa vyema timu yake kuhakikisha inapata ushindi katika mtanange huo.

Pedro timu yake ipo vizuri na ina nafasi ya kupata ushindi.

Amesema anajua utakuwa mchezo mgumu lakini hawatakubali kuona wanapoteza.

 “Tumefanya mazoezi ya kutosha kuelekea katika mchezo huo, lengo letu kubwa ni kupata ushindi na kusonga mbele, tunajua utakuwa mchezo mgumu lakini hatutakubali kurejea bila ya pointi tatu muhimu,” amesema Pedro.

Naye nahodha wa timu hiyo, Bakari Mwanyeto alisema wachezaji wamejipanga vyema kuhakikisha wanapata ushindi katika mchezo huo.

“Ujue tunaingia katika mchezo mgumu, sisi kama wachezaji tumekaa kwa pamoja na kuelekezana kuhakikisha tunapata ushindi,” amesema Mwanyeto.

Katika kundi B, Yanga ipo pamoja na timu za Al Ahly ya Misri, AS FAR ya Morocco na JS Kabylie ya Algeria.

Previous Post

RAIS DK. SAMIA APONGEZWA UAMUZI SHEREHE ZA UHURU

Next Post

JKT YATAKATA LIGI KUU BARA

Next Post
JKT YATAKATA LIGI KUU BARA

JKT YATAKATA LIGI KUU BARA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. SAMIA KUISUKA MWANZA YA KIMATAIFA

DK. SAMIA KUISUKA MWANZA YA KIMATAIFA

10 months ago
PBPA YAAGIZWA KUHARAKISHA UPOKEAJI NA USAZAMBAZAJI WA MAFUTA NCHINI

PBPA YAAGIZWA KUHARAKISHA UPOKEAJI NA USAZAMBAZAJI WA MAFUTA NCHINI

4 months ago

Popular News

  • MVUTANO MAZISHI YA WAMBURA WAFIKA KORTINI, DALILI ZA MARIDHIANO ZACHOMOZA

    MVUTANO MAZISHI YA WAMBURA WAFIKA KORTINI, DALILI ZA MARIDHIANO ZACHOMOZA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA ATAJA SIFA ZA MAWASILIANO SERIKALINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • 50 BORA ‘FORM SIX’ KUSOMA AI NJE YA NCHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DHAHABU YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 1.2/- YAKAMATWA IKITOROSHWA DAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA ATAKA UADILIFU, USHIRIKIANO NA MATOKEO KWA VIONGOZI WAPYA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?