• ePaper
Saturday, May 2, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

KOCHA GABON AITAKANUSU FAINALI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 25, 2025
in Burudani, Kimataifa, Michezo
0
KOCHA GABON AITAKANUSU FAINALI
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RABAT, Morocco

KOCHA wa timu ya taifa ya Gabon, Thierry Mouyouma, amesema mipango yake ni kufika nusu fainali katika michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025).

 Kocha Mouyouma alisisitiza amejipanga kufanya vyema katika michuano hiyo na  mipango yake ni kufika hatua ya nusu fainali.

Alisema kikosi chake kimesheheni wachezaji wenye uwezo mzuri wa kumsaidia kufanya vyema katika michuano hiyo msimu huu.

Alisema alishapata uzoefu wa michuano hiyo akiwa kama mchezaji, hivyo ana imani atatumia mbinu mbalimbali kuhakikisha anafikia malengo msimu huu.

“Nitatumia uozefu wangu katika michuano ya AFCON 2025 kuhakikisha tunafikia malengo tuliyojiwekea.

“Nilipata uzoefu nikiwa mchezaji, hivi sasa ni kocha, hivyo ninaamini tutafanya vizuri katika michuano ya msimu huu na kufika hatua ya nusu fainali,” alisema.

Alisema anatambua wamepangwa kundi lenye timu zenye uzoefu na michuano hiyo, lakini wamejipanga kupambana ili kutimiza malengo waliyojiwekea.

(BBC)

Previous Post

BOUANGA MATUMAINI KIBAO

Next Post

MIILI YA WALIOFARIKI AJALI YA HELKOPTA YATAMBULIWA

Next Post
MIILI YA WALIOFARIKI AJALI YA HELKOPTA YATAMBULIWA

MIILI YA WALIOFARIKI AJALI YA HELKOPTA YATAMBULIWA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MAMBO SAFI BIMA YA AFYA KWA WOTE

MAMBO SAFI BIMA YA AFYA KWA WOTE

5 months ago
AJIRA 45,000 ZANUKIA

AJIRA 45,000 ZANUKIA

2 weeks ago

Popular News

  • TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • VYALENGA KUIJENGA JAMII KIUCHUMI NA KIROHO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KUVUMILIANA MUHIMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI SANGU ABAINISHA HIFADHI SKIMU INAVYOENDA KUBADILI MAISHA YA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUCTA: WAAJILI WATEKELEZE NYONGEZA YA KIMA CHA MISHAHARA SEKTA BINAFSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?