• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

TAIFA STARS YAWEKA HISTORIAYA KIBABE AFCON

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 31, 2025
in Burudani, Kitaifa, Michezo
0
TAIFA STARS YAWEKA HISTORIAYA KIBABE AFCON
0
SHARES
15
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na ABDUL DUNIA

Kwa mara ya kwanza katika historia, timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).

Taifa Stars imefuzu hatua hiyo kama moja ya timu bora zilizomaliza nafasi ya tatu (best losers), baada ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Tunisia katika mchezo wa mwisho wa Kundi C uliochezwa kwenye Uwanja wa Prince Moulay, Rabat nchini Morocco.

Matokeo hayo yaliifanya Tanzania kufikisha jumla ya pointi mbili, na kuwa miongoni mwa timu nne zilizokusanya pointi nyingi zaidi kati ya timu zilizomaliza nafasi ya tatu katika makundi mbalimbali.

Katika kundi lake, Tanzania ilimaliza katika nafasi ya tatu ikiwa na pointi mbili, baada ya kutoka sare michezo miwili na kupoteza mchezo mmoja. Taifa Stars ilianza mashindano kwa kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Nigeria, kabla ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Uganda na kisha sare nyingine ya bao 1-1 dhidi ya Tunisia.

Kwa upande wa timu zilizofuzu kama best losers, Tanzania imeungana na Msumbiji, Benin na Sudan ambazo kila moja ilikusanya pointi tatu, huku Tanzania ikipata pointi mbili.

Hata hivyo, Tanzania imefanikiwa kuzipiku Angola na Comoro zilizokusanya pointi sawa, kutokana na kuwa na faida ya kufunga mabao mengi zaidi, hivyo kukata tiketi ya kusonga mbele katika michuano hiyo ya bara la Afrika

Previous Post

EL KAABI ANAWIRI AFCON

Next Post

MAISHA HAYANA ‘EXTRA TIME’, TIMIZA WAJIBU WAKO 2026

Next Post
MAISHA HAYANA ‘EXTRA TIME’, TIMIZA WAJIBU WAKO 2026

MAISHA HAYANA ‘EXTRA TIME’, TIMIZA WAJIBU WAKO 2026

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

RAIS DK. SAMIA AHIMIZA AMANI, USTAHIMILIVU

RAIS DK. SAMIA AHIMIZA AMANI, USTAHIMILIVU

5 months ago
TANZANIA IPO SALAMA MIKONONI MWA CCM – PETER MSIGWA  

TANZANIA IPO SALAMA MIKONONI MWA CCM – PETER MSIGWA  

8 months ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?