• ePaper
Wednesday, April 22, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

BILIONI 400/- KUJENGA ARENA YA KISASA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
April 4, 2026
in Burudani, Habari, Kitaifa, Michezo
0
BILIONI 400/- KUJENGA ARENA YA KISASA
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

NA FRED ALFRED
DODOMA

NAIBU  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, amesema Serikali imetenga jumla ya sh.bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi wa ukumbi mkubwa wa kisasa (Arena) pamoja na studio za kisasa za filamu nchini.

Mwinjuma aliyasema hayo bungeni jijini Dodoma, alipokuwa akijibu swali la nyongeza la  Mbunge wa Makete (CCM) Festo Sanga, aliyetaka kujua ni lini mchakato wa ujenzi wa ukumbi huo utakamilika.

Akijibu hilo Mwinjuma alifafanua kuwa, serikali inaendeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha sekta za sanaa, utamaduni na michezo kupitia uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya kisasa.

Mwinjuma alisema kuwa maandalizi ya utekelezaji wa mradi huo, yapo katika hatua za mwisho, huku ujenzi ukitarajiwa kuanza katika kipindi cha karibuni.

“Ujenzi wa Arena umetengewa fedha katika bajeti ya mwaka huu ambapo sh.bilioni 400 zitapatikana kutokana na mkopo wa masharti nafuu kutoka benki ya Korea na mchakato wa ujenzi utaanza hivi karibuni,”

Aliwatoa hofu wananchi na wadau wa michezo kuwa suala hilo, serikali italitekeleza na lipo katika hatua za mwisho za kuanza utekelezaji wake.

Previous Post

YANGA YATAMBIA REKODI LIGI KUU

Next Post

VIONGOZI WA DINI WAHUBIRI AMANI 

Next Post
VIONGOZI WA DINI WAHUBIRI AMANI 

VIONGOZI WA DINI WAHUBIRI AMANI 

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

BONDIA MWAKYEMBE AMKUBALI MMALAWI

BONDIA MWAKYEMBE AMKUBALI MMALAWI

4 months ago
DAKTARI ATAJA DALILI ZA SHINIKIZO LA DAMU

DAKTARI ATAJA DALILI ZA SHINIKIZO LA DAMU

2 days ago

Popular News

  • DK.NCHIMBI AMTAJA ASKOFU MFUMBUSA NGUZO YA UMOJA

    DK.NCHIMBI AMTAJA ASKOFU MFUMBUSA NGUZO YA UMOJA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SITAWAANGUSHA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • YANGA YATIMUA VUMBI CAF, SIMBA MMH

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA AMPA TANO SIMBU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAAJABU YA DP WORLD SIKU 730 BANDARINI DAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?