RUNGU LA MWIGULU LASHUKA TEMESA
Na ELIZABETH JOHN WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amemwelekeza Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, kuwafukuza kazi Ofisa Mtendaji Mkuu na...
Na ELIZABETH JOHN WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amemwelekeza Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, kuwafukuza kazi Ofisa Mtendaji Mkuu na...
NA JANE MIHANJI WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuielimisha jamii, juu ya faida za muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar...
Na AMINA KASHEBA KOCHA wa Yanga Princess, Edna Lema maarufu Mourinho, amesema anafurahishwa na ubora wa kikosi chake unaoonyeshwa sasa...
Na NASRA KITANA IKIBAKI wiki moja kabla ya dirisha dogo la usajili katika Ligi Kuu Tanzania Bara kufunguliwa, klabu ya...
Na AMINA KASHEBA KOCHA mpya wa Simba, Steve Barker ameshauriwa kuanza na usajili wa wachezaji katika eneo la kipa, kiungo...
Na ELIZABETH JOHN SERIKALi imeeleza kuwa inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kuwawezesha vijana kiuchumi na kijamii kwa kuimarisha ajira, ujuzi,...
Na MWANDISHI WETUWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amesema Serikali itaanzisha kitengo...
NA MWANDISHI WETU WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, amewaonya watendaji na watumishi wa umma kuacha tabia ya kuzoea matatizo hasa...
RABAT, Morocco MICHUANO ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ilianza kutimua vumbi juzi jijini Rabat, Morocco. Katika michuano hiyo...
Na AMINA KASHEBA ILE ndoto ya Watanzania kuishuhudia timu ya taifa ‘Taifa Stars’ ikipata ushindi wake wa kwanza katika Kombe...